Msanii Ommy Dimpoz a.k.a Poz kwa poz ameamua kuwaonjesha kionjo cha wimbo wake
mpya unaofuatia ambao video yake imefanywa nchini Marekani na producer
mkali nchini humo.
Kupitia Account yake ya Instagram Ommy dimpoz ameweka kionjo cha Video aliyojirekodi akiuimba wimbo huo huku akisisitiza kwa kusema kuwa huo ndiyo wimbo wake unaofuata unaosubiriwa na Mashabiki wake pamoja na Wapenzi wa Muziki wa
Bongo fleva Kwa Hamu Kubwa
Iangalie video hiyo hapo chini,
Iangalie video hiyo hapo chini,

No comments:
Post a Comment