Saturday, 7 June 2014

Kwa Mnao Kuza Makalio Kwa Dawa za Kichina na Kienyeji hii Inawahusu

Kwa wale wadada wanaotumia dawa za uongeza makalio ziwe za Kichina ama za Kienyeji wakiamini kuwa ndio wataonekana wazuri na kuwavutia wanaume, au haujatumia ila unafikiria kutumia siku moja,angalia hapa alafu utapata jibu utumie au ubaki na maumbile yako ya halisi, Huyo Mdada Amekuwa hivyo baada ya kutumia dawa hizo kwa muda mrefu na kupata hayo madhara kama unavyoona pichaniKwa wale wadada wanaotumia dawa za kuongeza makalio ziwe za Kichina ama za Kienyeji wakiamini kuwa ndio wataonekana wazuri na kuwavutia wanaume, au haujatumia ila unafikiria kutumia siku moja,angalia hapa alafu utapata jibu utumie au ubaki na maumbile yako ya halisi, Huyo Mdada Amekuwa hivyo baada ya kutumia dawa hizo kwa muda mrefu na kupata hayo madhara kama unavyoona pichani

No comments: