![]() |
| Peter Okoye{Psquare} & T.I |
Kwa mujibu wa mtandao wa Linda Ikeji wa Nigeria, chanzo cha karibu na kundi hilo kimesema P-Square wamerekodi wimbo na rapper T.I na pia Siku ya jana walikuwa Location Wakishoot video ya wimbo huo huko Atlanta, Marekani.
Ingawa bado mapacha hao hawajasema chochote kuthibitisha hilo, lakini Peter Okoye mmoja kati ya Mapacha wawili wanaounda kundi hilo{PSQUARE} ameonekana kwenye picha akiwa na T.I jana na inasemekana picha hiyo ilipigwa wakati wa kushoot video hiyo.

No comments:
Post a Comment