 |
| Wastara Sajuki. |
Mkali wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amepinga kitendo cha mastaa wa
Bongo kuagwa Viwanja vya Leaders Club, Kinondoni jijini Dar wanapokutwa
na umauti.
Akizungumza na gazeti moja la habari za mastaa na kijamii Bongo, Wastara alieleza kwa huzuni kubwa kuwa
hafurahii eneo la Leaders kutumika kuagia kwa sababu ni eneo hilohilo
ambalo hutumiwa kwa starehe.
 |
| Wastara akiwa kwenye moja ya misiba ya Bongo Movie. |
“Ukweli kwa upande wangu napinga mastaa kuagwa Leaders kwa sababu
Leaders mara nyingi hutumika kama sehemu ya anasa. “Ningeiomba serikali
itutafutie sehemu maalum kwa ajili ya kufanyia shughuli zote za misiba
ya watu maarufu,” alisema Wastara.
No comments:
Post a Comment