Sunday, 8 June 2014

TANZIA:-MUIGIZAJI MKONGWE MZEE SMALL AFARIKI DUNIA.

Muigizaji mkongwe nchini, Said Ngamba maarufu kwa jina la Mzee Small amefariki dunia usiku wa leo katika Hospitali ya Taifa Muhimbili jijini Dar. Taarifa zinadai kuwa Mzee Small amefariki kwa ugonjwa wa presha baada ya kuugua kwa muda mrefu kabla ya kuzidiwa jana na kupelekwa Hospitali Ya Taifa Muhimbili. Mtoto wa marehemu aitwaye, Muhidin amethibitisha kifo cha Baba yake{Mzee Small}
Marehemu Mzee Small akiwa na Familia yake enzi za uhai wake.
.       **MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU PEMA PEPONI.***

No comments: