POLISI NCHINI{TZ}WANAWASHIKILIA WATU WANANE KUHUSIANA NA KUKAMATWA VIUNGO VYA BINADAM JIJINI{D.S.M} JUZI.
 |
Suleiman Kova |
Polisi nchini Tanzania
inawashikilia watu wanane kuhusiana na kupatikana kwa viungo vya miili ya
binaadam jijini Dar es Salaam juzi usiku. Kamanda wa polisi wa Dar es
salaam, Suleiman Kova amesema watu hao wanane ni kutoka Taasisi ya
mafunzo ya Tiba (IMTU). Kova amesema miili hiyo ambayo ilikuwa imefichwa
kwenye mifuko 85 ya plastiki, sasa imepelekwa katika hospitali ya
Muhimbili kwa ajili ya kuhifadhiwa na kufanyiwa uchunguzi zaidi
VIDEO-Kamishna wa Polisi Kanda Maalum{D.S.M}Suleiman Kova akiliongelea hilo,
COMMISSIONER OF POLICE SULEIMAN KOVA ON DUMPED HUMAN BODY PARTS
No comments:
Post a Comment