Maonyesho ya 38 ya sabasaba yanaendelea katika eneo la Sabasaba, Dar
es Salaam. Makampuni, vikundi na watu mbalimbali wamefika kwa wingi
kuonyesha bidhaa zao kwa mtindo utakaowawezesha kuwa karibu zaidi na
wateja wao.
Kundi la Ucheshi la ‘Original Comedy’ linaloundwa na wachekeshaji kama Joti, Masanja Mkandamizaji, Wakuvanga, Mpoki na Mack Regani limeanzisha mgahawa halisi kwenye maonesho hayo ambapo wasanii wa kundi hilo ndio wahudumu.
Wakizungumza juu ya hilo, wasanii wa kundi hilo wamesema kuwa wamefanya hivyo kwa lengo la kuonyesha biashara yao,Na pia kuwa karibu zaidi na mashabiki wao wakiendelea kuwahudumia na kupiga nao picha kwa muda wote watakaokuwa katika maonyesho hayo hususan watakapotembelea mgahawa wao.
Kundi la Ucheshi la ‘Original Comedy’ linaloundwa na wachekeshaji kama Joti, Masanja Mkandamizaji, Wakuvanga, Mpoki na Mack Regani limeanzisha mgahawa halisi kwenye maonesho hayo ambapo wasanii wa kundi hilo ndio wahudumu.
Wakizungumza juu ya hilo, wasanii wa kundi hilo wamesema kuwa wamefanya hivyo kwa lengo la kuonyesha biashara yao,Na pia kuwa karibu zaidi na mashabiki wao wakiendelea kuwahudumia na kupiga nao picha kwa muda wote watakaokuwa katika maonyesho hayo hususan watakapotembelea mgahawa wao.

No comments:
Post a Comment