Thursday, 26 February 2015

APEWA MAKAVU LIVE MTANDAONI KWAKUJIPENDEKEZA KIUMBEA KWA MUHESHIMIWA JUU YA MAENDELEO YA MTOTO WAKE.

FAIZA NA BINTI YAKE SASHA.
ATIMAYE MZAZI MWENZIE Mh,JOSEPH DESDERIUS MBILINYI a.k.a "SUGU"{CHADEMA},
BI FAIZA ALLY AMEMNYEA MAKAVU MTANDAONI MBWISI MMOJA,ALIYEJULIKANA KWA JINA LA ISSA MWAKISAMBWE ALIYEMSHUTUMU KWA KUMPELEKEA UMBEA Mh,SUGU{MBUNGE WA MBEYA MJINI-CHADEMA}AKIDAI KUTORIDHISHWA NA MALEZI ANAYOPATIWA MTOTO WAKE MUHESHIMIWA NA MZAZI MWENZIE HUYO PICHANI JUU.

KATIKA POST ALIZOZITUMA MTANDAO ZIKIAMBATANA NA PICHA ZA MTUHUMIWA WAKE BI FAIZA ALLY ALIKUWA NA HAYA...........
Hivi wewe Pumbavu unajua uchungu wa mtoto wewe???? Unajua uchungu wa kutenganishwa mama na mtoto mjinga wewe ??? @mwakisambweissakwisha - wewe unataka nivae vitenge na mabaibui ndio ujue Kama mimi mama bora ! Mbona mashoga wanavaa suruali na bado ni mashoga Pumbavu wewe ! Au na wewe ni shoga! Au unaliwa nini ? @mwakisambweissakwisa
Huyo mpumbavu mmoja ameenda kwa baba Sasha hapa insta anamwambia akamchukue mtoto kwa kuwa mm si mama bora kisa nilivaa pampers - sasa nakwambia hivi wewe fala cheze kote usicheze na mtoto wangu ! Peleka uhanisi wako mbele huku maisha yangu ya mtoto wangu na baba mtoto wangu hayakuhusu kwa namna yoyote ! Na kwa taarifa yako sikupewa mimba kwa bahati mbaya - baba wa mtoto wangu ananijua sana kuliko wajinga wote na ndio maana mpaka leo niko na mtoto wake - na hujui ubora wangu mjinga wewe unaniona kwa mbali - naishi maisha yangu sina haja ya ku prove chochote kwa yoyote msenge wa kiume - yaani k.....m natamani nikutakane matusi yote basi sio fani yangu - Kama unatafuta kiki kwa muheshimiwa kwa hilo umepotea sana - ana nikubali sana kuachana ni kawaida Pumbavu wewe! @mwakisambeissakwisa @mwakisambeissakwisa -
FAIZA ALLY AKIMSURPRISE MZAZI MWENZIE KATIKA SIKU YA KUMBUKUMBU YA KUZALIWA KWAKE.

 
SASHA JOSEPH DESDERIUS MBILINYI MTOTO WA Mh,SUGU ALIYELETA MTAFARUKU.

No comments: