Taarifa kutoka Mwanza Airport ni kuwa kuna ndege ya Jeshi ambayo
hubeba mabomu, iliyokuwa kwenye mazoezi ya kawaida imelipuka na
kuteketea.
- Ndege hiyo ilikuwa na Rubani peke yake,
Rubani wa ndege hii, ndg Peter Augustino alifanikiwa kuruka kwa parachuti na kunusurika kufa ingawa inadaiwa amevunjika mguu na kukimbizwa hospitali kwa matibabu zaidi .
NB;-RIPOTI ZA WANAHABARI JUU YA TUKIO LENYEWE
Source-Jamii Forum,
- Ndege hiyo ilikuwa na Rubani peke yake,
Rubani wa ndege hii, ndg Peter Augustino alifanikiwa kuruka kwa parachuti na kunusurika kufa ingawa inadaiwa amevunjika mguu na kukimbizwa hospitali kwa matibabu zaidi .
NB;-RIPOTI ZA WANAHABARI JUU YA TUKIO LENYEWE
Source-Jamii Forum,


No comments:
Post a Comment