![]() |
| Nape Mnauye. |
“Rangi inayoenda Ikulu ni hii (anaonyesha shati lake la kijani ambayo hutumiwa na chama hicho). Tuna uhakika na ushindi wa Rais. Kwa namna yoyote ile, CCM itarudi Ikulu hata kama ni kwa bao la mkono... bao ni bao tu ili mradi refa hajaona,”
Source: MCL
Nini maoni yako kutokana na kauli hii ya Nape?
FUNGUKA HAPA>>>>https://www.facebook.com/Ngessakinollo

No comments:
Post a Comment