![]() |
Mh,Mosses Machali. |
"Machali ambaye amekuwa Naibu Katibu Mkuu wa NCCR-Mageuzi amefikia uamuzi huo baada ya kuridhika na sera, falfasa na itikadi za Chama cha ACT-Wazalendo".
Taarifa zimesambaa hapa Kasulu kuwa MBUNGE WA Kasulu mjini Moses Machali atafanya mkutano wa kihistoria akiwa na Zitto Zuberi Kabwe tarehe 28 mwezi Huu,
Mkutano huo utafanyika katika kiwanja cha Kiganamo Kasulu Mjini
No comments:
Post a Comment