Thursday, 16 July 2015

Mgana Msindai ahukumiwa kwa kosa la uzembe barabarani lililosababisha kifo.

Bw,Mgana Msindai

Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Singida Bw,Mgana Msindai amehukumiwa kwenda jela miaka 2 au kulipa faini ya Tsh 70,000 (elfu sabini ) baada ya kukiri kosa la kusababisha kifo kwa uendeshaji wa kizembe. 
Hii metokea katika Mahakama ya Hakimu mkazi Wilaya ya Manyoni Mkoani Singida. 
Chanzo-NIPASHE

No comments: