![]() |
Benson Wanjau"Mzee Ojwang" |
![]() |
Mzee Ojuwang na Mama Kayaii. |
Wakenya wengi wameguswa na msiba huu
huku baadhi ya watu wakipost ujumbe tofauti kwenye mitandao wa Twitter
kuonyesha kuguswa kwa msiba huu wa aliekuwa mchekeshaji mkongwe wa Kenya.
Mzee Ojwang amefariki akiwa na miaka 78.
Breaking News: Veteran Vitimbi actor 'Mzee Ojwang' dead at 78 http://t.co/GxeEl57SWH pic.twitter.com/uDeWlK0Cm9
— NTV Kenya (@ntvkenya) July 12, 2015
No comments:
Post a Comment