Friday, 14 August 2015

Kampuni ya Rockstar4000 watangaza ramsi ujio wa collabo ya Ali Kiba na Neyo

Kampuni inayosimamia vipaji ya Rockstar4000 imetangaza rasmi kuwa msanii wao Ali Kiba atamshirikisha msanii wa Marekani Neyo kwenye wimbo wake mpya.
Tangazo linasema,
Exciting News: African superstar Alikiba will be collaborating with International Superstar Ne-Yo — More news to follow…. #kingkiba #ROCKSTAR4000
Alikiba and Ne-Yo Collaboration! Two world class amazing complete musicians in one room! Explosive Amazing Magic! Keep you posted…. @officialalikiba #kingkiba #ROCKSTAR4000 #RockstarDiaries #CokeStudioAfrica #CocaCola @sevenmosha @neyo
Neyo alikuwa Afrika hivi karibuni akifanya show kwenye tuzo za MTV-MAMA AWARDS nchini Africa Kusini Na alikutana na wasanii tofauti wa Afrika.
Ukiacha Neyo, tayari Ali Kiba amethibitisha kufanya wimbo na Msanii Davido wa Nigeria.

No comments: