![]() |
| Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano ya Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiweka shada la maua katika kaburi la marehemu Kapteni John Komba huko Lituhi mkoani Ruvuma. |
![]() |
| Kutoka kulia ni Mwingulu Nchema, Jenista Mhagama na William Lukuvi wakiteta jambo. |
![]() |
| Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya
muungano ya Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akiwa na
watoto mara baada ya kumaliza mkutano wake Peramiho. |
![]() |
| Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano ya Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akizungumza na Mwanafunzi mwenye ulemavu wa ngozi mara baada ya kumaliza mkutano wake uliofanyika Peramiho. |
![]() |
| Wana Peramiho wakimkaribisha Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano ya Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli. |
![]() |
| Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano ya Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi Mh. Jenista Mhagama mgombea ubunge wa jimbo la Peramiho katika mkutano uliofanyika Peramiho. |
![]() |
| Baadhi ya wananchi wakiwa wameshika picha za Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano ya Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli. |
![]() |
| Mmoja wa wana CCM akifuta vumbi kwenye picha ya Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano ya Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli. |
Akizungumza katika mkutano
huowakati akiomba kura Dr. John Pombe Magufuli amewaambia anataka
kuijenga Tanzania mpya yenye viwanda vikubwa, vya kati na vya chini uli
kuboresha uchumi wa nchi hiyo na kuongeza ajira kwa vijana wa
kitanzania.
![]() |
| Mjumbe wa kamati Kuu ya CCM Mh William Lukuvi akiwapa salam za mikoa mingine ambako Dr. John Pombe Magufuli amepita. |
![]() |
| Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano ya Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa mjini Mbinga. |
![]() | |
| Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano ya Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akipunga mkono mara baada ya kuvuka mto Luhuhu akielekea Mbinga mkoani Ruvuma. |
![]() |
| Umati wa wananchi ukiwa umefurika katika uwanja wa taifa mjini Mbinga katika mkutano wa kampeni uliohutubiwa na Dr. John Pombe Magufuli. |
![]() |
| Wananchi wakiwa wamejitokeza kwa wingi mjini Mbinga kwenye uwanja wa Taifa kumsikiliza Dr John Pombe Magufuli. |
![]() |
| Kada wa CCM Bw. Amon Mpanju akiwahutubia wakazi wa mjini Songea mkoani Ruvuma jana. |
![]() |
| Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya
muungano ya Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akimnadi
mgombea wa CCM jimbo la Songa Mjini Mh. Leonidas Gama. |
![]() | |||||
| Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya muungano ya Tanzania kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wananchi wa kata ya Lituhi. |


























No comments:
Post a Comment