Monday, 14 September 2015

MSANII Mr,NICE YU HOI KITANDANI.

Msanii Mr,Nice akiwa hoi kitandani katika hospitali ya frolida-kahama,Mkoani Shinyanga.
Kupitia taarifa iliyotolewa mtandaoni{Facebook}na Msanii mwenzie Best Nasso taarifa iliyoambatana na Picha ikiwataka wapenzi na mashabiki wa msanii Mr,Nice,pamoja na wapenda harakati za sanaa ya Muziki wa Bongo Flava kuhusiana hali ya msanii huyo.


Hey watanzania huyu ni nduguyetu Mr nice anaumwa sana yupo kahama mkoani shinyanga katika hospitali ya frolida hebu tumuombeeni mungu amnusuru na apone mapema na hata ukiweza kumtembelea itakua vizuri sana asanteni kwa maombi yenu
Like · Comment · Share
  • Kayson Ngessa

    Write a comment...


No comments: