![]() |
| Bw,Joseph Haule{Prof,Jay} |
Professor Jay
Naanza
Kwa kumshukuru sana Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehma kwa kuniwezesha
kufika mahali hapa nikiwa mzima na mwenye afya njema na kunipigania
katika kila vikwazo na changamoto
mbalimbali nilizopitia, Pili napenda kuwashukuru sana wananchi wote wa
jimbo la langu MIKUMI kwa kuniamini, Kunichagua na kunipa Heshima hii ya
kipekee na dhamana hii ya kuwatumikia, Nawaahidi nitashirikiana nanyi
kwa unyenyekevu mkubwa, kwa nguvu zangu zote na uwezo wangu wote bila
kujali itikadi za vyama vyetu, Maana Lengo letu kuu ni kuleta
mabadiliko na maendeleo ili tuweze kuijenga MIKUMI tunayoitaka, Mwisho
kabisa napenda kuwashukuru sana Ndugu, Jamaa na Marafiki zangu wote kwa
kuonyesha Upendo na ushirikiano wa nguvu kwa namna moja ama nyingine
mpaka kunifikisha hapa nilipo sasa...
MIKUMI MPYA KWA MAENDELEO YA WATU WOTE! Mungu awabariki sana, ASANTENI SANA!!!!
Mp JOSEPH HAULE....
MIKUMI MPYA KWA MAENDELEO YA WATU WOTE! Mungu awabariki sana, ASANTENI SANA!!!!
Mp JOSEPH HAULE....

No comments:
Post a Comment