Raisi Kikwete akiwa kwenye foleni ya kupiga kura Msoga Bagamoyo.....
.
![]() |
| Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika foleni akisuburi zamu yake ya kupiga kura katika kituo cha hospitali ya kijiji cha Msoga kata ya Msoga wilayani Bagamoyo Oktoba 25, 2015. |
![]() |
| Ofisa katika kituo cha kupigia kura katika kituo cha hospitali ya kijiji
cha Msoga akihakiki kadi ya kupiga kura ya Rais Dkt.Jakaya Mrisho
Kikwete |
![]() |
| Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiandika kura yake ya siri. |
.
![]() |
| Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwekwa wino na msimamizi wa kituo unaotambulisha kuwa amepiga kura. |








No comments:
Post a Comment