BILA KUONGEZA CHUMVI NAILETA KAMA ILIVYO:
Wadau
mbalimbali wakiwa wamejaa Salama Hall Bwawani ambapo ndio Kituo kikuu
cha Kutangazwa matokeo ya Urais Zanzibar, ghafla tumepokea Statement
kutoka kwa mmoja ya Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ambae ni
Kamishna Ayoub Bakari Hamad ambayo iko chini hapo unaweza kusema !
Basi wengine hata hiyo wataiyona refu hawatoisoma badala yake wataanza kutuliza na ku-forward habari nyengine, ili usiulize masaa isome mpaka mwisho kwani sijaongeza langu hivyo ukiniuliza nami nitakua sijui...Shukran
Ally Almafadhy added 3 new photos — with Salma Said and 16 others.
Basi wengine hata hiyo wataiyona refu hawatoisoma badala yake wataanza kutuliza na ku-forward habari nyengine, ili usiulize masaa isome mpaka mwisho kwani sijaongeza langu hivyo ukiniuliza nami nitakua sijui...Shukran



No comments:
Post a Comment