Kwa
wale walioomba ufafanuzi kuhusiana na baraza la mawaziri.. Kutokana na
katiba ya Tanzania inayotumika ya mwaka (1977) Ibara ya 52- (2) madaraka
ya Waziri/Naibu yatakoma pale tu
A:. Endapo mwenye madaraka atajiuzulu au kufariki dunia
B:. Ikiwa mwenye madaraka hayo atakoma kuwa Mbunge kwa sababu yoyote isiyohusika na kuvunjwa kwa Bunge
C: Ikiwa Rais atafuta uteuzi na kumuondoa kazini mwenye madaraka hayo;
D:. Kama atachaguliwa kuwa spika
E:. Iwapo Waziri Mkuu atajiuzulu au kiti chake kikiwa wazi kwa sababu nyingine yoyote;
F: ukiwadia wakati wa Rais mteule kushika madaraka ya Rais basi mara tu kabla Rais mteule hajashika madaraka hayo
G: Iwapo Baraza la Maadili linatoa uamuzi unaothibitisha kwamba amevunja Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
A:. Endapo mwenye madaraka atajiuzulu au kufariki dunia
B:. Ikiwa mwenye madaraka hayo atakoma kuwa Mbunge kwa sababu yoyote isiyohusika na kuvunjwa kwa Bunge
C: Ikiwa Rais atafuta uteuzi na kumuondoa kazini mwenye madaraka hayo;
D:. Kama atachaguliwa kuwa spika
E:. Iwapo Waziri Mkuu atajiuzulu au kiti chake kikiwa wazi kwa sababu nyingine yoyote;
F: ukiwadia wakati wa Rais mteule kushika madaraka ya Rais basi mara tu kabla Rais mteule hajashika madaraka hayo
G: Iwapo Baraza la Maadili linatoa uamuzi unaothibitisha kwamba amevunja Sheria ya Maadili ya Viongozi wa Umma.
No comments:
Post a Comment