![]() |
| Aliyekuwa Kamishna wa TRA Rished Bade |
My take: Tuache muda uongee kasi ya JPJ
![]() |
| Phillip Mpango aliyekaimishwa Ukamishina mkuu wa TRA. |
Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano - Ikulu imesema kuwa alasiri ya leo, Rais Dk. John Pombe Magufuli amemsimamisha kazi Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato nchini (TRA), Rished Bade.
Rais amemteua Kamishna Phillip Mpango kukaimu nafasi hiyo; na amemtaka Rished Bade kumpa ushirikiano Mpango hasa katika kutafuta ukweli kuhusu makontena 349 yenye thamani ya shilingi bilioni 80/= yaliyotoweka bandarini pasipo TRA kuwa na kumbukumbu zozote za makontena hayo.


No comments:
Post a Comment