Mkulima wa Columbia aokota dolla Million 600 shambani kwake, zinadaiwa kuwa za Pablo Escobar
| Jose Mariena Cartolos |
Mkulima mmoja anayejulikana kwa jina la Jose Mariena Cartolos ameokota kiasi cha dolla million 600 za kimarekani shambani kwake, pesa hizo zimedaiwa kuwa moja ya mamilion ya muuza madawa wa nchini humo, Pablo Escobar aliyoyafukia miaka ya nyuma.
Hata hivyo mkulima huyo hatoweza kuzichukua pesa hizo, Serikali ya Columbia imesema zitatumika kwenye kazi zingine za kusaidia wananchi kama Elimu na Afya, maafisa wa nchini humo wamesema wanahofu watu wengi zaidi wataanza kuchimba ilikutafuta pesa zingine za Pablo Escobar.
![]() |
| Moja ya nyumba za Pablo Escobar |

No comments:
Post a Comment