Rapper
mkali wa muziki wa Hip Hop Bongo Maalim Nash @maalimnash , yupo nchini
Africa kusini kwa ajili ya ziara ya kuongeza wigo wa mziki wake.
Taarifa kubwa ni kwamba rapper Huyo, amekutana na producer mkubwa na mwalimu wa kutengeneza beats za Hip Hop aitwae 9th Wonder.
Kwa mujibu wa ukurasa wake wa Instagram Nash ameandika kuwa alifanikiwa kumpatia baadhi ya Ngoma zake.
Leo Hit maker huyo wa Naandika, atapiga show mjini Johannesburg Hillbrow nchini humo. Je huu ndio mwanzo wake kimataifa??
Taarifa kubwa ni kwamba rapper Huyo, amekutana na producer mkubwa na mwalimu wa kutengeneza beats za Hip Hop aitwae 9th Wonder.
Kwa mujibu wa ukurasa wake wa Instagram Nash ameandika kuwa alifanikiwa kumpatia baadhi ya Ngoma zake.
Leo Hit maker huyo wa Naandika, atapiga show mjini Johannesburg Hillbrow nchini humo. Je huu ndio mwanzo wake kimataifa??
No comments:
Post a Comment