Wananchi wa kijiji cha wami Sokoine wilaya ya Mvomero mkoani Morogoro
wamelalamikia kutumia maji machafu yanayotumiwa na mifugo kwa muda mrefu
hali inayotishia afya za wananchi hao kwa kuhofia kupata magonjwa.
Wakizungumza kwa masikitiko wananchi hao wamesema wanalazimika kununua
maji shilingi 1,500 kila dumu la lita 20 ambapo wamesema wanashangazwa
na hatua ya serikali kushindwa kufanya jitihada za kuwapatia maji
wananchi wa kijiji hicho hali ya kuwa wanalipa kodi kama watanzania wa
maeneo mengine.



No comments:
Post a Comment