Mahakama imetupilia mbali kesi hiyo na kukubaliana na hoja za
mapingamizi ya kisheria yaliyowekwa na jopo la mawakili wa msanii huyo –
Tundu Lissu na John Mallya.
Mahakama pia imemuamuru mlalamikaji Jonas Nkya ambaye walikuwa wakigombea pamoja nafasi ya ubunge wa jimbo la Mikumi alipe gharama zote za kesi na usumbufu.
Chanzo-EATV.
Mahakama pia imemuamuru mlalamikaji Jonas Nkya ambaye walikuwa wakigombea pamoja nafasi ya ubunge wa jimbo la Mikumi alipe gharama zote za kesi na usumbufu.
Chanzo-EATV.
No comments:
Post a Comment