![]() |
| Bond Bin Suleiman |
![]() |
| Wastara na Mumewe aliyeolewa naye Juzi ambaye ni Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Sadifa Khamis |
Wastara aliyeolewa hivi karibuni na Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), Sadifa Khamis alisema kuwa ni ukweli usiopinga kwamba yeye na Bond walikuwa wapenzi, kwa kuwa sasa ameolewa na mkataba wake na Bond bado haujaisha imempasa ampe masharti.
![]() |
| Wastara na Bondi |
“Ninachotaka tuendelee kufanya kazi na azingatie kuniheshimu na kusahau kabisa kama tuliwahi kuwa wapenzi, pia muamuzi wa mwisho ni yeye kama ataona hawezi basi maana nimeshaandaa mtu mwingine,” alisema Wastara.
Chanzo: GPL



No comments:
Post a Comment