Monday, 1 February 2016

Rais Shein amlaumu Maalim Seif kuvunjika kwa mazungumzo ya maridhiano

Shein amesema mgogoro wa kisiasa ulikuwa utatuliwe kwa njia za mazungumzo lakini kiongozi wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad aliyeomba mazungumzo ya maridhiano kabla hayajamaliza yeye alienda kutoa siri za vikao kwa waandishi wa habari Dar es saalam na baadae kuandika barua ya kujitoa katika mazungumzo hayo.

Chanzo: Mazrui Media

No comments: