RAHA MASTERS INC & GRAPHIC DESIGNERS.
FIND US ON:-FACEBOOK as Ngessakinollo OR dvjKson on INSTAGRAM.
Wednesday, 27 April 2016
MAJIVU YA MWILI WA PRINCE YAINGIZWA KWENYE KWENYE GARI.
Dada wa marehemu Prince, Tyka Nelson, akiwa na majonzi mazito
Majivu ya mwili wa mwanamuziki nyota Prince ulichukuliwa ukiwa umebebwa kwenye chombo kilichofunikwa na koti jeusi na kuingizwa kweye gari punde tu baada ya kuchomwa moto.
Prince ambaye ni muumini wa dhehebu la dini ya Mashahidi wa Yehova aliacha wosia mwili wake kuchomwa na kufanyiwa maziko ya siri na ya kawaida yaliyogharimu dola 1,600.
Majivu ya Mwili wa Prince yakiingizwa kwenye gari huku dada wa marehemu Tyka Nelson akishuhudia
No comments:
Post a Comment