RAHA MASTERS INC & GRAPHIC DESIGNERS.
FIND US ON:-FACEBOOK as Ngessakinollo OR dvjKson on INSTAGRAM.
Friday, 8 April 2016
MBUNGE VITI MAALUM{CHADEMA}AFARIKI DUNIA.
Marehemu Christina Lissu Mughwai
#TANZIA
Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum (CHADEMA), Mhe. Christina Lissu Mughwai
(ambaye ni dada wa Tundu Lissu) amefariki dunia muda mfupi uliopita
katika hospitali ya Aga Khan jijini Dar es salaam. Marehemu alikuwa
anasumbuliwa na maradhi ya saratani tangu mwaka jana, na alikuwa mbunge
katika bunge la 10.
No comments:
Post a Comment