Thursday, 28 April 2016

MVUA YALETA MAJANGA KILIMANJARO.

KILIMANJARO: Kaya 2200 katika Wilaya ya Moshi hazina mahala pa kuishi, chakula na mahitaji mengine sababu ya mvua kubwa zinazonyesha. 

-Mvua hiyo kubwa imenyesha kwa siku mbili mfululizo


Zaidi ya kaya 2200 katika wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro hazina mahala pa kuishi, wala chakula na mahitaji mengine muhimu ya kibinadamu.

Maafa hayo yamesababishwa na mvua kubwa zilizonyesha kwa siku mbili mfululizo na kusababisha maafa makubwa ya vifo, pia uharibifu wa mali na mashamba

No comments: