Wema Sepetu amekutana na hizi tuhuma za kuacha Chumba alicholala kwenye Hoteli katika hali isiyo salama, kama hukupata time ya kuisikiliza hii usijali nimerecord Full stori na utaipata hapa >>>’Kusema ukweli taarifa hizo mimi kama meneja wa Wema Sepetu sina halafu kwa mimi ninachojua ni kuwa haiwezekani hotel wakatoa taarifa ya mteja wao‘:- Martin Kadinda Meneja wa Wema Sepetu
BONYEZA PLAY KUSIKILIZA FULL STORI PIA USISAHAU KUNIACHIA COMMENT YAKO …
No comments:
Post a Comment