Monday, 10 February 2014

MADABIDA NA MKEWE KORTINI KWA KUTENGENEZA ARV FEKI.

Ramadhan Madabida
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Ramadhani Madabida na mkewe bi. Zarina Madabida wamefikishwa Mahakamani Kisutu kwa kesi ya kutengeneza ARV feki.
Bi,Zarina Madabida
Hii ni kupitia vidonge hivyo vinavyosaidia kurefusha MAISHA kwa wenye maambukizi ya jwa wa ukimwi,kuonekana havina kiwango,VIDONGE vinavyotengenezwa na kampuni iliyochini ya Mh,MADABIDA na Mkewe baada ya kushinda tenda ya kusambaza vidonge hivyo nchini.

No comments: