Wednesday, 5 February 2014

MISS TANZANIA 2004 FARAJA KOTA AFUNGUKA JUU YA MAHUSIANO YAKE NA MH,WAZIRI L.NYALANDU.

Miss Tanzania wa 12 tangu mashindano hayo yaanze nchini Tanzania Faraja Nyalandu Kota Miss Tanzania 2004, yeye aliolewa na mwanasiasa waziri wa mali asili na utalii Mh Lazaro Nyalandu, sasa leo ndani ya 255 Ya Clouds Fm, Miss Tanzania wa mwaka 2004 Faraja Nyalandu anafunguka jinsi walivyokutana na mheshimiwa mpaka wakaja kufunga ndoa yao
MSIKILIZE HAPO CHINI:-.

No comments: