Saturday, 26 April 2014

MWISHO MWAMPAMBA ALAMBA DILI-TV1

Mwisho Mwampamba.
Aliyekuwa mwakilishi wa mara mbili kutoka Tanzania kwenye shindano la Big Brother Africa, Mwisho Mwampamba ataonekana hivi karibuni kwenye kituo cha runinga cha TV1 kama mtangazaji.
Kupitia Instagram, TV1 wameweka picha hii ya baadhi ya wafanyakazi wa TV1 akiwemo Mwisho na kuandika; Guess who’ll be next as #TV1Host #tv1tanzania #comingsoon #tvproduction #tv #tanzania #africa #daressalaam #mikocheni #studios #set
Mwisho (kulia) akiwa na watu wengine kwenye uzinduzi wa TV1 wiki kadhaa zilizopita
 

No comments: