Mbunge wa Arumeru Magharibi ambaye pia ni Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Ole Joseph Medeye. |
Medeye ameongea hayo wakati wa Majadiliano ya Hotuba ya Makadirio ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu na Tamisemi.
Medeye ameahidi kugombea Jimbo la Arusha Mjini Uchaguzi Mkuu ujao wa 2015 ili achukue nafasi ya Lema!
1 comment:
Medeye huwezi kucheza game na CDM.Ww choka mbaya.
Post a Comment