Thursday, 8 May 2014

PICHA-MSANII LINAH NDANI YA KILI MUSIC AWARD'S NA MCHUMBA WAKE.

Msanii Linah Sanga ni mmoja kati ya wasanii wachache waliokuja kwenye KTMA Na wapenzi wao,Picha kadhaa zikiwaonyesha Linah akiwa amepozi na mchumba wake  Nagari Kombo ambaye kwa sasa wako tayari kuonekana hadharani tofauti na mapema ambapo walijaribu kuishi kwa kuficha mahusiano yao.  wawili hawa Wamekuwa wakiandikwa na blogs tofauti kuwa wanakaribia kufunga ndoa na kwamba Linnah anategemea kupata mtoto wakati wowote taarifa ambazo zilikanushwa vikali na Linnah kwenye Interview nyingi tofauti alizofanya.
Linah,Nagari & Mobenga.

No comments: