Thursday, 26 June 2014

Diamond Platnumz aivamia Taarabu...

Star wa muziki wa Bongo Flava Diamond Platnumz ambae kwa sasa anayo heshima kubwa kwenye Industry ya muziki, kutokana na muziki wake pamoja na kuingia kwenye tuzo za MTV MAMA na BET leo alikuwa kwenye kipindi cha LEO TENA cha Clouds Fm ameuongelea muziki wa Taarabu ambao pia anaweza kuuimba na alishawai kuomba nafasi Jahazi Morden Taarab ya kuimba kabla hajawa
Diamond Platnumz....
Hii ni video clip inayomuonesha Diamond akiimba wimbo wake mpya wa taarabu....

No comments: