 |
Muigizaji mkongwe katika tasnia ya filamu Bongo, Mohammed
Fungafunga 'Jengua' akiwa msibani kwa aliyekuwa gwiji la vichekesho
marehemu Mzee Small |
NG’OMBE hazeeki maini! Katika hali ya kushangaza, waigizaji wakongwe,
Fatuma Makongoro ‘Bi. Mwenda’ na Jengua walioneshana malovee msibani
kwa kuitana mume na mke.
.Ishu hiyo ilitokea juzi, Jumatatu kwenye msiba wa nguli wa vichekesho
nchini, Said Ngamba ‘Mzee Small’ ambapo paparazi wetu aliwashuhudia
wawili hao wakiitana bebi huku wakifuatana kila sehemu.
 |
Muigizaji mkongwe, Fatuma Makongoro ‘Bi. Mwenda’.
|
alipoulizwa Jengua kuhusiana na ukaribu huo msibani, alisema haoni tatizo kuwa mpenzi wa Bi. Mwenda lakini mama huyo alikataa na kusema labda katika filamu tu
No comments:
Post a Comment