STAA wa muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Emmanuel Eribariki ‘Nay wa
Mitego’, juzi usiku alifanikiwa kukusanyika na ndugu na jamaa zake wa
karibu kwa ajili ya kusheherekea siku ya kuzaliwa kwake miaka 29
iliyopita. Ishu hiyo ilifanyika nyumbani kwake Kimara-Baruti ambako
aliwashukuru mama na baba yake na Mungu, mashabiki wake na mpenzi wake,
Siwema kwa kuifikia siku hiyo.
Angalia baadhi ya picha za tukio hilo hapo chini,
Angalia baadhi ya picha za tukio hilo hapo chini,
No comments:
Post a Comment