Thursday, 12 June 2014

MOTO WATEKETEZA SOKO LA MITUMBA{KARUME}- DAR ES SALAAM

Mabanda ya wamachinga eneo la Soko Karume yameungua kwa moto usiku wa kuamkia leo. Moto ukiwa ni mkali sana,ambapo  umeleta athari kubwa sana. Hali bado ni tete Eneo husika, Fire walifika katika eneo la tukio na kuondoka baada ya kukubali kushindwa, hakuna walichoweza kuokoa. Nguzo za umeme zimeungua pia. umati wa watu ukiwa ni mkubwa sana, huku baadhi wakiwa wanalia kwa uchungu wakiwa wamejishika kwa kukata tamaa. Habari zaidi zitawaijia kupitia @Ngessa Blogspot.....Stay Tuned.


No comments: