Saturday, 7 June 2014

PICHA-MKE MTARAJIWA WA Mh,JOSHUA NASARI{MBUNGE-CHADEMA} NA TAARIFA YA HARUSI YAO.

Mbunge wa Jimbo la Arumeru Mashariki,Mh Joshua Nassari siku ya kesho anatarajia kufunga ndoa na mchumbawake anayejulikana kwa jina la Anande Nko katika kanisa la Pentekoste Kilinga lililoko wilaya ya Meru baada ya mambo ya imani Sherehe kubwa ya Harusi itakayo fanyika katika viwanja vya Usa-River Academy jirani na Hotel ya Ngurdoto.Pichani ni Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Meru Dr Paul Akyoo akifanya maombi kwa Mh Joshua Nassari pamoja na mchumbawake mtarajiwa Anande Nnko 
Mh,Mbunge Joshua Nasari na Mkewe mtarajiwa Anande Nko.
Mh,Mbunge Joshua Nasari na mkewe mtarajiwa Anande Nko.

No comments: