TAHARIFA ZA KUSIKITISHA JIJINI DAR ES SALAAM MCHANA HUU..
Moto mkubwa unateketeza baadhi ya maduka na majengo yanayozunguka eneo la hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam.
Hadi sasa nyumba 3 zimeteketea kabisa kwa moto ambao bado unaendelea kuwaka kwa kasi nakutishia nyumba zingine zilizopo jirani.
***Kwa Taarifa zaidi endelea kuwa nasi tutakujuza zaidi.***
Moto mkubwa unateketeza baadhi ya maduka na majengo yanayozunguka eneo la hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam.
Hadi sasa nyumba 3 zimeteketea kabisa kwa moto ambao bado unaendelea kuwaka kwa kasi nakutishia nyumba zingine zilizopo jirani.
***Kwa Taarifa zaidi endelea kuwa nasi tutakujuza zaidi.***


No comments:
Post a Comment