RAHA MASTERS INC & GRAPHIC DESIGNERS.
FIND US ON:-FACEBOOK as Ngessakinollo OR dvjKson on INSTAGRAM.
Monday, 21 July 2014
PICHA ZA AWALI-VIUNGO VILIVYOKAMATWA LEO MAENEO YA BUNJU.
baadhi ya viungo vilivyokamatwa.
picha ikionyesha miguu ya binadam
Fuvu la mtu likiwa kati ya viungo vilivyokamatwa
Wakazi wa jiji la Dar es salaam hususan Bunju & Boko wakiwa wamekusanyika kushuhudia tukio hilo
gari lililobeba Viungo hivyo.
Mpaka
tunaondoka eneo la Tukio Miili ilikuwa imechukuliwa na Jeshi la Polisi
kwa Uchunguzi zaidi, Taarifa kamili itatolewa na Kamanda wa Polisi Mkoa
wa Dar es salaam.
No comments:
Post a Comment