Monday, 7 July 2014

RIDHIWANI KIKWETE{MBUNGE}AKABIDHI VITANDA 267 KWA WAKAZI WA JIMBO LAKE.

Mbunge wa Chalinze, mkoa wa Pwani, Mtoto wa Rais, Ridhiwani Kikwete{Mbunge}, akijaribu kimoja kati ya vitanda 267, kabla ya kuvigawa kwa shule saba za jimboni Chalinze, katika hafla iliyofanyika jana, kwenye shule ya Sekondari Lugoba jimboni humo.
Shule zilizopewa vitanda hivyo vikiwa na magodoro yake, idadi ya vitanda ilivyopata ikiwa kwenye mabano ni; Chalinze (50), Moreto (50), Mandera (25), Talawanda (24), Kiwangawa (50), Lugoba (38) na Kikaro (30). Kwa mujibu wa Ridhiwani mgawo huo ni wa awamu ya kwanza.
Bw,Abdalla Sakasa wa Lugoba- akikabidhiwa vitanda vitanda 38
Bw,Justin Nguma wa Moreto  vitanda 50
Wadau wakimsikiliza Mh,Ridhiwani Kikwete.

Bw,Omari Msami wa Kikaro-vitanda 30
Bw,Rose Umila wa  Mandera Girls vitanda 25
Bw,Saidi Ally wa Kiwangwa akipongezwa na wadau baada ya kupata vitanda 50.
Mh,Ridhiwani Kikwete{Mbunge}akifurahi na wanafunzi wa shule ya Talawanda baada ya kukabidhi vitanda kwa mwalimu wa shule hiyo (kulia)
Mh,Ridhiwani Kikwete{Mbunge}akizungumza na wadau kueleza mikakati mbalimbali ya kukwamua maendeleo ya jimbo la Chalinze, ambapo alieleza kuwa miongoni mwa vipaumbele ni huduma za umeme ambapo italetwa Transfoma itakayowezesha jimbo hilo kupata umeme wa uhakika, afya na elimu
 
Bw,Charles Mussa wa Talawanda- vitanda  24

No comments: