HUU NDIO MSIKITI MKUBWA ALIOJENGA SALIM BAKHRESA JIJINI DAR ,WAZINDULIWA LEO NA MZEE MWINYI,BILAL NA KINANA NA MAMA SALMA WAHUDHURIA,PICHA ZOTE ZIKO HAPA
Muonekano kwa nje. |
Waislam mbalimbali ambao wamejitokeza leo katika msikiti huo leo jijini dar es salaamkushughudia uzinduzi huo wa msikiti wa kihistoria jijini Dar es salaam |
Makamu
wa rais wa tanzania MOHAMED GHARIB BILAL bilal alihudhiria swala ya
uzinduzi wa msikiti huo ,hapa akisalimiana na waumini wengine
waliokusanyika hapo
|
BAKHRESA akiagana na mzee MWINYI baada ya kukamilika kwa uzinduzi huo |
No comments:
Post a Comment