Friday, 3 October 2014

PICHA-YALIYOJIRI KWENYE BIRTHDAY PARTY YA DIAMOND PLATNUMZ

Siku ya tarehe 02-10-2014 ilikuwa ni siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa msanii mahiri katika muiki wa kizazi kipya mnchini Diamond Platnumz @Chibu Dangotee,ni siku iliyopambwa kwa sherehe kubwa iliyofana ikijumuisha wasanii lukuki wakiwemo wa muziki wa Bongo Flava na Tasnia Ya Uigizaji Filamu nchini [Bongo Movie},Sherehe iliyotajwa kugharimu takriban Sh,Milion 28 za Kitanzania,ambapo kwenye Sherehe hiyo msanii Diamond Platnumz alizawadiwa Gari aina ya BMW yenye Thamani ya Sh,Milioni 90 za Kitanzania.


Gari aina ya BMW alilozawadiwa Diamond Platnumz na Managiment yake.


Msanii Elizabeth Michael{Lulu}

Kushoto ni Richie Mtambalike,Vicent Kigosi{Ray},Irene Uwoya & Jacob Steven{Jb}



Diamond na Fianse wake Wema Sepetu.


Keki ya Birthday.


No comments: