![]() |
Shilole & Nuh Mziwanda |
Akizungumza na mwandishi wa habari hii hivi karibuni, Mziwanda alisema kuna taarifa zimeenea kuwa huwa anapigwa na Shilole pindi anapokosea lakini ukweli si kupigwa ‘live’ bali ni kupigwa kimahaba.
Shilole"Shishi Beiby" & Nuh Mziwanda. |
No comments:
Post a Comment