Afya
ya Rais Kikwete inaendelea vizuri na jana alianza mazoezi ya kutembea
baada ya kufanyiwa upasuaji wa tezi dume, nchini Marekani juzi!
(Pichani juu: Rais Kikwete akiongea na Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Liberata Mulamula aliyekwenda kumjulia hali katika hospitali ya John Hopkins iliyopo Baltimore, Maryland, nchini Marekani jana)
(Pichani juu: Rais Kikwete akiongea na Balozi wa Tanzania nchini Marekani, Liberata Mulamula aliyekwenda kumjulia hali katika hospitali ya John Hopkins iliyopo Baltimore, Maryland, nchini Marekani jana)
No comments:
Post a Comment