![]() |
WEMA & PENNY |
Habari za ndani zinaeleza kuwa wawili hao walipatanishwa na mdau mkubwa wa burudani, Jennifer Pemba kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa East 24 Bar and Grill uliopo ndani ya Hoteli ya Sea Cliff, Masaki jijini Dar es Salaam ambapo wawili hao walialikwa.
No comments:
Post a Comment