MBUNGE WA MBEYA VIJIJINI AANGUKA GHAFLA BUNGENI JANA
MBUNGE WA MBEYA VIJIJINI AANGUKA GHAFLA BUNGENI JANA
Mbunge wa Mbeya Vijijini, Mchungaji Luckson
Mwanjale akiwa amebebwa na wahudumu wa afya mchana wa jana baada ya
kudondoka ghafla ndani ya jengo la Ukumbi wa Bunge.Chanzo cha kuanguka
kwake bado hakijafahamika.
No comments:
Post a Comment